Mzimbilikillertz.com

It's best music blog

BREAKING



Karibu utangaze biashara yako hapa



YAHYA MZIMBILI



Mzimbilikillertz the only one



Wednesday, 17 January 2018

Nimaajabu lakini ni kweli kiatu chenye gharama kubwa duniani

Kiatu cha ghali zaidi Duniani💰


Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na watu wa masuala ya mitindo imeeleza kuwa kiatu hicho kinagharimu kaisi cha dola milioni 15.1 za Kimarekani na kimetengenezwa kwa vitu mbalimbali kama almasi ya blue, almasi nyeupe na vito vingine 1000 vya almasi.



Kiatu hicho kimetengenezwa na mbunifu Debbie Wingham miaka (35) aliyopo nchini Dubai na kitakuwa  kitu cha nne chenye thamani kubwa duniani.

No comments:

Post a Comment